Ni katika sikukuu ya kusherehekea mavuno 'BULABO' tarehe 26juni hadi tarehe 3 kila Mwaka ndipo mwanamuziki nguli wa muziki wa ragga&dancehall Shaggy anasimikwa rasmi uchifu wa kabila la wasukuma, sherehe za kufana zafanyika katika eneo la kijiji cha makumbusho Bujola nje kidogo ya jiji la Mwanza.
TAZAMA USIKU WA BI FELISIA KYAMANI ULIVYO FANA
-
Wanafamilia na Waalikwa wakicheza kwaifuraha na shangwe kwenye siku hii
muhimu ya SendOff ya Bi Felias Kyamani .
Watu walivaa na kupendeza Ukumbi ulipambw...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.