Mgeni Rasmi Mh. Ndyamukama Katibu Tawala (W) Bukoba akihutubia Mashindano ya Ngoma za Asili yaliyodhaminiwa na Kampuni ya Bia Tanzania kupitia kinywaji chake cha Balimi Extra lager, kushoto ni Andrew Mbwambo Meneja Mauzo na Erick Mwayela, Meneja Matukio kanda ya ziwa.
Mshindi wa kwanza Mashindano ya Ngoma za Asili kundi la Rugowoile kutoka manispaa ya Bukoba akishapokea fedha taslim laki tano(500,000/=) kutoka kwa mgeni rasmi Mh. Ndyamukama, hapa anasalimiana na Andrew Mbwambo Meneja Mauzo Kampuni ya Bia. Mshindi wa pili ni Rugu toka Karagwe walijipatia laki Nne(400,000/=), wa tatu ni Kabale toka Manispaa ya Bukoba walijipatia laki tatu(300,000/=).
Kundi la Rugowoile kutoka manispaa ya Bukoba wakishangilia mara baada ya kutangazwa washindi wa kwanza.
Kundi la Rumanyika kutoka Karagwe wakionyesha umahiri wao wa ngoma za asili.
Haya ndio mambo yalivyokua katika viwanja vya Kaitaba katika kumsaka mshindi wa mashindano ya ngoma za asili kupitia kinywaji cha Balimi Extra lager.
RAIS SAMIA AZINDUA JENGO LA TRA MKOA WA SIMIYU
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dk. Samia Suluhu Hassan leo
tarehe 16.06.2025 amezindua jengo la Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa
wa Simiy...
WAACHENI WATOTO WAENDE SHULE- RAIS SAMIA
-
Na John Mapepele -OR TAMISEMI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe, Dkt. Samia Suluhu Hassan
amewataka wazazi nchini kuwaachia watoto wa kike kus...
Mahakama yabariki Lissu kujitetea kesi ya uhaini
-
*Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.*
*MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemruhusu Mwenyekiti wa Chama cha
Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ku...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.