ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, June 21, 2011

ZIMEBAKI SIKU TANO TU! HAINA MAJOTROOOOO!!!!

'''Chuki zenu hatuzisikii, hatuongei, na wala hatuoni....EEeeeh'''

Paparazi.

Ni pilikapilika za show kubwa kuliko zote hapa nchini SERENGETI FIESTA 2011 inayoanzia jiji la Miamba Mwanza 'Mtu mzima Shaggy in tha house' siku ya jumapili ya tarehe 26 juni pichani toka shoto ni Zamaradi, G.Sengo na Baba Johnii aka Mchomvu ndani ya 88.1 leo mchana.

Street pande za Kirumba Mwanza.
Wakazi wa Rock City wameonekana katika pilika za huku na huko madukani kujinunulia mavazi kuhakikisha kuwa wanashaini ile kisawasawa kuilaki burudani ya kweli ile hali upande wa watoa huduma mbalimbali iwe za mahoteli, malazi, chakula, wadau wa usafiri maduka ya mavazi na kadhalika wao wameahidi kutoa huduma safi katika kipindi hiki cha matayarisho hata kwa siku husika.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.