Aliyekuwa Waziri wa mambo ya Nje wa Marekani enzi za Utawala wa George W. Bush, Bi Condolezza Rice alipokutana na Kanali Qadhafi mjini Tripoli. Siasa kitu kibaya aka uswazi twasemaaaa 'Siasa Mchezo Mchafu', pamoja na vicheko vyote na matabasamu yote jamaa wamembadilikia!!
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.