

Wageni walioalikwa ni pamoja na mkali wa Rnb Akon star wa tumbuizo za NBA pia alimuita msanii anayemzimia kinomanoma Fally Ipupa toka Congo-DRC na J.Martins toka Nigeria.

Wapenyezaji habari wamenena kuwa: ‘Drogba anaupenda sana wimbo Jupa Remix na alikuwa akidhani ni wa Fally Ipupa’ ‘hivyo alipomkaribia Fally kumtaka awepo iliapate kuperform kwa harusi hiyo kama wimbo maalum, alimjibu kuwa hilo songi si lake. Na iliapate kuliperform kwenye sherehe ya ndoa hiyo kwa ufanisi zaidi haina budi kuwasiliana na mchizi aliyempa kolabo J.Martins (the owner of the song) awepo shughulini na wimbo upate imbwa’. Drogba alifanya hivyo na songi likagengeshwa kunako shughulini.
Kwahisani ya indepthafrica.com
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.