
Mtaalamu huyu wa miti shamba anaaminika kuwa na “magical cure” kwa magonjwa yote sugu ikiwa ni pamoja na gonjwa la UKIMWI. Sijajua kwa hakika ni kiasi gani anauza dawa zake ila kwa kifupi babu huyu kama hakika dawa zake zinatibu pumu, kisukari, ukimwi n.k basi once foleni inapungua huko Loliondo blog hii itamtafutia sponsors na kumleta kiwanja kufanya kweli.


Ngorongoro hapaingiliki sasa maana kuna foleni kubwa ya magari yenye wagonjwa na wateja wanaosubiri huduma za Mchungaji Ambilikile. Watu toka kona zote za Tanzania plus Kenya na Uganda wanamiminika Loliondo kila kukicha.Big up to “Babu” Ambilikile kwa kuja na tiba hizi.
By tunyfish.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.