ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, May 16, 2011

TASH NA VJ WA ARACHUGA KUUNGANA NA CHABBY SIX NA RAYMOND KATIKA SERENGETI FIESTA FREESTYLE + MWANZA KUSAKWA JUMAPILI HII.

Hapa machalii wakisaplai maujanja man 2 man.

Mkali wa kuchana aitwaye Allan Elirehema Tash akionyesha umahiri wake mbele ya mashabiki wake..

Majaji wa shindano la Serengeti Freestyle kulia ni Dix na Fid Q..

Miamba iliyoingia nane bora Arusha.

Kazi zaidi inakuja Mwanza this wikiendi ndani ya The Kiss Club Kirumba, ambapo wakali wa jiji la miamba na wa mikoa ya kanda ya ziwa watajumuika kuisaka 'Golden Chance' inayoletwa chini ya Udhamini wa Serengeti Premium Lager.


KWA HABARI ZAIDI TEMBELEA
www.kajunason.blogspot.com

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.