Kundi la Mwanza House of Talent katika picha ya pamoja mara baada ya kutawazwa na majaji kuwa washindi wa shindano la Msimu wa Dhahabu na Dansi la Fiesta mkoa wa Mwanza shindano likifanyika jana jioni katika ukumbi wa disco Club Lips Isamilo Lodge jijini Mwanza. Shindano hili ni moja kati ya maandalizi ya Tamasha kubwa la FIESTA lililochini ya udhamini mkubwa wa kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL). Tamasha ambalo litaanza kutimua 'vumbi lake safi lisilochafusha' hivi karibuni.Halaaaa!!!
KWA PICHA ZAIDI FUNGUA www.fullshangwe.blogspot.com
MUHAS YAADHIMISHA WIKI YA UBUNIFU
-
SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu Idara inayohusu Sayansi na Teknolojia
imetengeneza mwongozo wa matumizi ya Akili Mnemba (AI) katika Taasisi zake
za E...
MUHAS YAADHIMISHA WIKI YA UBUNIFU
-
Mkurugenzi wa Elimu ya Juu kutoka Wizara ya Elimu, Profesa Peter Msofe,
akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa Wiki ya Ubunifu ya Chuo Kikuu cha
Afya na S...
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.