Bw Nelson Mandela ameenda nyumbani kwake kijijini mjini Eastern Cape nchini Afrika kusini katika safari yake ya kwanza tangu alipolazwa hospitalini mwezi Januari.Family Support: Nelson Mandela na binti yake Princes Zenani Mandela-Dlamini (shoto)na Mjukuu wake Ndileka Mandela picha ilipigwa mara baada ya Mzee Madiba kupiga kura nyumbani kwao.
Aliyekuwa rais wa nchi hiyo mwenye umri wa miaka 92 alitembelea Qunu akitokea mjini Johannesburg akiwa na kikosi cha madaktari.
Baada ya kuondoka uwanja wa ndege akisindikizwa na ujumbe wa magari 12, inasemwa yuko nyumbani kwake Qunu pamoja na mke wake.
Rais wa Afrika kusini Jacob Zuma alisema "amefurahi kwamba sasa afya yake imeimarika kiasi cha kuweza kusafiri". Bw Mandela amekuwa akipata matibabu nyumbani kwake Johannesburg baada ya kutibiwa kutokana na matatizo ya moyo mapema mwaka huu.
Mshindi huyo wa tuzo ya amani ya Nobel hajatokea hadharani tangu sherehe za kufunga mashindano ya kombe la dunia mjini Johannesburg Julai 2010.
ULEGA AAGIZA UCHUNGUZI WATENDAJI BRT4
-
• Ataka ripoti ya wasimamizi na washauri wote
• Akerwa na uzembe wao unaosababisha misongamano
• Aeleza jinsi Rais Samia anavyoumia kwa foleni mijini
Na Mwa...
Piga Mkwanja Mrefu Ijumaa ya Leo
-
IJUMAA ya leo ni ya moto sana ndani ya Meridianbet kwani mechi za kibabe za
kukupatia mzigo wa maana zipo. Kuanzia pale EPL na kwaingineko ni moto juu ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.