Mkurugenzi wa Miss Tanzania Hashimu Lundenga akipiga makofi kushangilia uzinduzi rasmi ya Nembo mpya ya Vodacom Miss Tanzania pamoja na uzinduzi wa mashindano hayo kwa mwaka 2011, shughuli iliyofanyika katika Hotel Kempnisky jijini Dar es salaam.
Baadhi ya wanakamati wa Vodacom Miss Tanzania pamoja na wadhamini wa wakuu wa shindano hilo na warembo walioshiriki mashindano hayo miaka ya nyuma katika picha ya pamoja.
WAZIRI MKUU ANADI VIVUTIO VYA UTALII, UWEKEZAJI
-
▪️Ni katika siku ya Tanzania kwenye maonesho ya Osaka World EXPO 2025
▪️Asema mauazo ya bidhaa za Tanzania Japan yafikia sh bilioni 37
▪️Asisitiza Tanzania...
KOICA Yajenga Maabara ya Kisasa ya 3D ATC
-
Na Woinde Shizza, Arusha
Chuo cha Ufundi Arusha (ATC), kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo ya
Kimataifa la Korea (KOICA), kimezindua rasmi maabara...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.