Mkurugenzi wa Miss Tanzania Hashimu Lundenga akipiga makofi kushangilia uzinduzi rasmi ya Nembo mpya ya Vodacom Miss Tanzania pamoja na uzinduzi wa mashindano hayo kwa mwaka 2011, shughuli iliyofanyika katika Hotel Kempnisky jijini Dar es salaam.
Baadhi ya wanakamati wa Vodacom Miss Tanzania pamoja na wadhamini wa wakuu wa shindano hilo na warembo walioshiriki mashindano hayo miaka ya nyuma katika picha ya pamoja.
Wajumbe wa Baraza Kuu la NSSF Wapatiwa mafunzo
-
Na MWANDISHI WETU,Tanga.
Wajumbe wa Baraza Kuu la 54 la Wafanyakazi wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya
Jamii (NSSF), wakiongozwa na Mkurugenzi Mkuu, Bw. Mash...
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.