Mashabiki wakiamini kuwa timu hizo zitaenda mapumziko kwa bongo fleva kulala mbili kavu hali haikuwa hivyo kwani kabla ya kipindi cha kwanza kumalizika Ben Kinyaiya aliizawadia Bongo Fleva bao la kwanza,

Nacho kipindi cha pili dakika ya 23 Rock City Star ilibidi kucheza pungufu mara baada ya mara baada ya Jack Fish kutolewa nje kwa kadi nyekundu kwa kumchezea rafu mbaya Richie One
Hadi kipyenga cha mwisho kinalia timu hizo zilitoshana nguvu kwa sare ya 2-2.
Tupe maoni yako
Looks like you folks are having a lot fun.
ReplyDeletehttp://goo.gl/3UKz