Idadi kubwa ya watu ninaokutana nao kila mmoja wakizungumzia inshu nzima hawakosi kuitaja burudani hii iliyoporomoshwa na Ally Kiba, Banana Zorro na Diamond.
Utu Uzima Dawa- Ally Kiba, Said Mabela, Banana Zorro na Diamond
Dina Marious akimtangaza mshindi tuzo ya Rapa bora muziki wa Dansi.
Kwaheshima na kuwaombea waliofariki dunia kwenye ajali ya 5star morden taarab iliyotokea hivi karibuni Umma uliokuwemo ukumbini hapo ulisimama kwa dakika moja.
All star.
'Ze Kruu Inza Hausi' kutoka kushoto Dataz, Reuben Ndege, Babuu wa Kitaa na Sebastian Maganga.
Ni burudani iliyowalazimisha watoka mapema kubakia ukumbini hakika Waandaaji hawakukosea kuiweka burudani hii mwisho kabisaaaa, Unajua kwanini wanaitwa Mapacha Watatu?
Nje ya ukumbi kabla ya shughuli kutoka kushoto Mie na mkali wa bongo fleva nchini Chege na mratibu wa THT Hamza.
Taarifa kwa Umma Kuhusu Ongezeko la Bei za Mafuta.
-
Dar es Salaam, Tanzania
Tunatambua ongezeko kubwa la hivi karibuni la bei za mafuta ambalo
limeongezeka kwa asilimia 33. Kama jukwaa linalolenga kusawaz...
Serikali Yaongeza Muda wa Tume ya Uchunguzi
-
*Na Mwandishi Wetu*
*DODOMA, Aprili 4, 2026 — Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
imetangaza kuongeza muda wa kukamilisha kazi kwa Tume ya Kuchun...
0 comments:
Post a Comment