ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, March 28, 2011

PICHA ZAIDI NDANI YA RED CAPET YA KILI AWARDS 2011

Ma-mc walioongoza shughuli hiyo.

Idadi kubwa ya watu ninaokutana nao kila mmoja wakizungumzia inshu nzima hawakosi kuitaja burudani hii iliyoporomoshwa na Ally Kiba, Banana Zorro na Diamond.

Utu Uzima Dawa- Ally Kiba, Said Mabela, Banana Zorro na Diamond

Dina Marious akimtangaza mshindi tuzo ya Rapa bora muziki wa Dansi.

Kwaheshima na kuwaombea waliofariki dunia kwenye ajali ya 5star morden taarab iliyotokea hivi karibuni Umma uliokuwemo ukumbini hapo ulisimama kwa dakika moja.

All star.

'Ze Kruu Inza Hausi' kutoka kushoto Dataz, Reuben Ndege, Babuu wa Kitaa na Sebastian Maganga.

Ni burudani iliyowalazimisha watoka mapema kubakia ukumbini hakika Waandaaji hawakukosea kuiweka burudani hii mwisho kabisaaaa, Unajua kwanini wanaitwa Mapacha Watatu?

Nje ya ukumbi kabla ya shughuli kutoka kushoto Mie na mkali wa bongo fleva nchini Chege na mratibu wa THT Hamza.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.