Idadi kubwa ya watu ninaokutana nao kila mmoja wakizungumzia inshu nzima hawakosi kuitaja burudani hii iliyoporomoshwa na Ally Kiba, Banana Zorro na Diamond.
Utu Uzima Dawa- Ally Kiba, Said Mabela, Banana Zorro na Diamond
Dina Marious akimtangaza mshindi tuzo ya Rapa bora muziki wa Dansi.
Kwaheshima na kuwaombea waliofariki dunia kwenye ajali ya 5star morden taarab iliyotokea hivi karibuni Umma uliokuwemo ukumbini hapo ulisimama kwa dakika moja.
All star.
'Ze Kruu Inza Hausi' kutoka kushoto Dataz, Reuben Ndege, Babuu wa Kitaa na Sebastian Maganga.
Ni burudani iliyowalazimisha watoka mapema kubakia ukumbini hakika Waandaaji hawakukosea kuiweka burudani hii mwisho kabisaaaa, Unajua kwanini wanaitwa Mapacha Watatu?
Nje ya ukumbi kabla ya shughuli kutoka kushoto Mie na mkali wa bongo fleva nchini Chege na mratibu wa THT Hamza.
Piga Mkwanja Mrefu na Meridianbet Leo
-
JUMAPILI ya kubadilisha maisha yako na Meridianbet imefika leo. Suka jamvi
lako la ushindi siku ya leo na uingie kwenye wale washindi wakubwa ambao
h...
Piga Mkwanja Mrefu na Meridianbet Leo
-
JUMAPILI ya kubadilisha maisha yako na Meridianbet imefika leo. Suka jamvi
lako la ushindi siku ya leo na uingie kwenye wale washindi wakubwa ambao
h...
"Tunaweza kuishi bila misaada" - Msigwa
-
Msemaji wa Serikali ya Tanzania, Gerson Msigwa, amesema nchi hiyo inaweza
kusimama kwa miguu yake bila misaada, ingawa amekiri misaada ni muhimu na
inahita...
Piga Mkwanja Mrefu na Meridianbet Leo
-
JUMAPILI ya kubadilisha maisha yako na Meridianbet imefika leo. Suka jamvi
lako la ushindi siku ya leo na uingie kwenye wale washindi wakubwa ambao
hutan...
0 comments:
Post a Comment