Kutokana na mabadiliko ya ujenzi katika fukwe za bahari ya hindi, baadhi ya mito kukauka na kufutika kabisa kutokana na mabadiliko ya tabia nchi, michoro mipya ya barabara na ujenzi wake tofauti na miaka ya 1970 na 80, Jamaa mmoja niliyekaribu naye angani hapa anahoji kwambaa.."Kwanini wataalam wetu wa kupanga miji, wasilione hili na kuchora ramani mpya ya Jiji la Dar es Salaam?" A
Nafasi ya Kuwa Milionea Unayo Leo
-
IJUMAA ya leo ni siku nzuri ya wewe kuondoka na mshindo wa maana ambapo
wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet wanakwambia hivi, ingia kwenye
akaunti ya...
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.