Kutokana na mabadiliko ya ujenzi katika fukwe za bahari ya hindi, baadhi ya mito kukauka na kufutika kabisa kutokana na mabadiliko ya tabia nchi, michoro mipya ya barabara na ujenzi wake tofauti na miaka ya 1970 na 80, Jamaa mmoja niliyekaribu naye angani hapa anahoji kwambaa.."Kwanini wataalam wetu wa kupanga miji, wasilione hili na kuchora ramani mpya ya Jiji la Dar es Salaam?" A
ENDORO WATER FALLS, MAAJABU MENGINE NGORONGORO
-
Mbaraka Mwinshehe aliwahi kuimba akiisifia Morogoro na jinsi maji
yanavyotiririka kutoka milimani.
Mwinshehe angekuwa hai pengine angefika maporomoko ...
Rais Museveni atangazwa mshindi wa uchaguzi Uganda
-
Tume ya uchaguzi nchini Uganda imemtangaza Rais Yoweri Kaguta Museveni kama
mshindi wa uchaguzi uliofanyika Alhamisi wiki hii, akiwa na jumla ya kura
7,946...
0 comments:
Post a Comment