Kutokana na mabadiliko ya ujenzi katika fukwe za bahari ya hindi, baadhi ya mito kukauka na kufutika kabisa kutokana na mabadiliko ya tabia nchi, michoro mipya ya barabara na ujenzi wake tofauti na miaka ya 1970 na 80, Jamaa mmoja niliyekaribu naye angani hapa anahoji kwambaa.."Kwanini wataalam wetu wa kupanga miji, wasilione hili na kuchora ramani mpya ya Jiji la Dar es Salaam?" A
JAS yafanya kikao cha kufunga Mwaka 2025
-
Na Mwandishi Wetu Morogoro 27 Disemba, 2025.
Jumuiya ya Wanafunzi ya Jiba Active Students (JAS) imefanya kikao maalum
cha kufunga shughuli za Mwaka 2...
0 comments:
Post a Comment