Viongozi wa Chadema na wabunge wa chama hicho wakiwa wanaandamana mkoani Shinyanga huku akiwa ametanguliwa na vijana wa chama hicho Redbriged.
Wanafunzi wa shule ya msingi Jomu wakiwa katika maandamamo ya Chama cha Demokaria na Maendeleo yaliofanyika mjini Shinyanga jana huku wakiwa wameshikana na kuonesha alama ya Vidole viwili.
Mwenyekiti wa Chadema taifa Freeman Mbowe akisisitiza kuendelea na maandamano kumjibu Rais Jakaya Kikwete.
Aliyekuwa Mgombea ubunge jimbo la Shinyanga Mjini Shilembi Magadula Shilembi ambaye kutotangazwa kakwe mshindi kulisababisha vulugu kubwa katika mji wa Shinyanga na kuchomwa moto kwa ofisi za Halmashauri.
Mabango mbalimbali ya waandamanaji wa mkoa wa Shinyanga yakionekana kuwa na ujumbe mbalimbali kwa rais Kikwete.
Simba yashindwa kufurukuta fainali
-
Simba ilijipa matumaini kwa bao la mapema la Joshua Mutale dakika ya 17,
lakini kasi ya upande wa Tanzania ilidhibitiwa baada ya beki Yusuf Kagoma
kutolewa...
KOICA Yajenga Maabara ya Kisasa ya 3D ATC
-
Na Woinde Shizza, Arusha
Chuo cha Ufundi Arusha (ATC), kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo ya
Kimataifa la Korea (KOICA), kimezindua rasmi maabara...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.