Waziri mkuu Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na wasanii wa Filamu na wa Muziki wa kizazi kipya mara baada ya kupokea michango mbalimbali ya fedha na vitu vyenye thamani ya shilingi milioni 76 waliyoipata kutokana na tamasha walilolifanya mwishoni mwa wiki kuchangia waathirika wa mabomu wakatika eneo la Gongo la mboto jijini Dar es salaam. Kulia ni kaimu mkuu wa mkoa Mh. Sadik na kushoto ni Kamanda Kova, wa tatu kushoto ni mratibu mkuu wa tamasha hilo la soka kwa wasanii (GOLI) Bw. Ruge Mutahaba. Picha ndogo msanii wa muziki wa kizazi kipya Mwana FA kwa niaba ya wasanii wote akiwasilisha hundi hiyo kwa mh. Waziri mkuu.
Umoja wa Ulaya Waadhimisha Miaka 50 Tanzania
-
· Siku ya Ulaya 2025 yaadhimisha Miaka 50 ya ushirikiano wa EU na Tanzania
na Miaka 25 ya mahusiano ya EU na AU
· Miongoni mwa wageni rasmi walikuwepo, Mhe...
MHE. SIMBACHAWE AITEMBELEA FAMILIA YA HAYATI MSUYA
-
*Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora, Mhe. George Simbachawene akizungumza na Familia ya Makamu wa Kwanza
wa Ra...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.