Serikali ya Japani imetoa Yen bilioni 1.022 sawa na Sh. Bilioni 19.012 za Kitanzania kwa ajili ya kufanikisha mradi huo wa maji vijijini,na utaongeza watumiaji wa maji safi na salama katika vijiji 44 vilivyopo katika mkoa wa Mwanza na Mara.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.