Niko nje kidogo ya mji wa Arusha panaitwa Manyara kibaoni, barabara kuelekea Serena Lodge Hotel nakutana na banda la bidhaa za jadi kilizotengenezwa kwaajili ya mapambo kwa nyumba.
Ni zaidi ya ubunifu kwa sanaa za mkono zilizopo katika duka hili.
Viatu vya jadi maray'yo aka makatambuga na marimba.
Sanaa.
Picha za ukutani..
Part two.
Zana asili zilizotumika toka makabila ya wamang'ati, wamasai na wameru nazo zinauzwa hapa.
Ni nyenzo nyingi za bidhaa asili zinapatikana hapa.
ENDORO WATER FALLS, MAAJABU MENGINE NGORONGORO
-
Mbaraka Mwinshehe aliwahi kuimba akiisifia Morogoro na jinsi maji
yanavyotiririka kutoka milimani.
Mwinshehe angekuwa hai pengine angefika maporomoko ...
Rais Museveni atangazwa mshindi wa uchaguzi Uganda
-
Tume ya uchaguzi nchini Uganda imemtangaza Rais Yoweri Kaguta Museveni kama
mshindi wa uchaguzi uliofanyika Alhamisi wiki hii, akiwa na jumla ya kura
7,946...
0 comments:
Post a Comment