ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, March 29, 2011

KOMENTI ZA WADAU MITANDAONI KUHUSU DAWA YA BABU ...

Mara baada ya serikali kutoa tamko la kuridhishwa kwake na dawa inayotolewa na mchungaji Ambakile Masapila wa kijiji cha Samunge Loliondo ikisema haina madhara yoyote kwa matumizi ya binadamu, watu kupitia mitandao mbalimbali wamekuwa wakidondosha maoni yao.. ->#67 maishaduniangumu JR 2011-03-29 16:06
HII NI NEEMA,PATA DOSE MOJA NENDA SUBIRI SIKU KADHAA, PIMA ILI UJUWE HALI YAKO UPO KAMA ZAMANI AU LA....
Quote

->#65 GEOFREY 2011-03-29 15:13
KUNA TETESI NIMESIKIA OSAMA AMEPATA KIKOMBE KWA BABU. NAOMBA WADAU MNITHIBITISHIE.
Quote

->#64 MASHILINGI 2011-03-29 15:09
WE KIPARA ACHA UJUAJI MWINGI WA KUZUNGUKA SEHEMU MOJA. NI WAGANGA WANGAPI WALIOPO TZ NA AMBAO WAMEKUWA WAKITANGAZA KWENYE VYOMBO VYA HABARI KUWA WANATIBU MAGONJWA SUGU. SASA CHA KUSHANGAZA BABU HAJAWAHI MTANGAZIA MTU YEYOTE ISIPOKUWA WE UNAYEPONYWA NDO UNAENDA KUTANGAZA. ACHA TABIA ZA AKINA ROSTAM NA KAKOBE NJOO UPATE KIKOMBE UPONE.
Quote

->#61 kipara 2011-03-29 14:57
Hapa pana utata ambao haujatatuliwa. Utata wenyewe ni je! hii dawa inatibu kweli? tuacheni hadithi za vichochoroni na tupeni ukweli wa kitaaluma kuhusu majaribio ya dawa hizi kabla ya kikombe na baada ya kunyweshwa hicho kikombe. Kwa mantiki yangu inaonekana hapa upo kamchezo ambao unanufaisha wajanja wachache na mwisho wa mchezo tutakuja kugundua kwamba wengi wametajarika na huu kamchezo. Tamko la serikali kwamba dawa haina madhara bado haijajibu hoja.Inawezekana wako wanahisa katika hii scheme wanamikono mirefu hadi kuwashawishi watoaji wa maelezo ya kuipa uhalali hii dawa hewa.
Quote
->#58 jenisia 2011-03-29 14:19
watu wamepona magonjwa sugu, hasa vigogo ndio maana serikali inamuunga mkono. hakuna cha siasa wala CCM. Babu kaza mkono kugawa Kikombe!
Quote

->#57 Deogratius 2011-03-29 14:19
Mbona imani zenu ndogo hivi kweli hamjiulizi watu wote hao wanaweza kwenda kwenye hamna? pole sana.. Mungu wetu wasaidie hao watambue ukweli maana hata ulivyo mtuma YESU wengi walimpinga ktk mambo na uponyaji aliokua akiufanya, mpaka leo hii bado kuna Wayahudi hawamtambui!!!! Vivyo hivyohata kwa kizazi hiki, nawaambia nendeni mkapate tiba kama mimi, sitaki kueleza zaidi ya kuwa watu WANAPONA na nimepona hiyo dawa ni ya ajabu 'it's beyond our understanding' pia kumbukeni kua kizuri hakidumu kama una tatizo please nenda ukitaka kudadisi sana huna matatizo na kama unayo basi utapitwa mbarikiwe sana >AMINA
Quote

#54 Ndazu 2011-03-29 13:47
Huyo mzee ameweka wazi kuwa lazima uwe na imani na bila shaka ni imani ya Mungu sasa lazima tujue kuwa kuna tofauti ktk Mungu tunayemuamini wengine wana watatu, wengine mizimu wengine wanaabudu mashetani na WENGINE WANAMWAMINI MUNGU MMOJA TU HAKUZAA WALA KUZALIWA AMBAYE KILA KITU KINAMTEGEMEA YEYE NA WALA HANA KINACHOFANANA NAYE sasa wale wanaokunywa KKKT (Kunywa kikombe Kimoja TU) wajiulize wao wana muamini mungu yupi na Babu anamuamini mungu yupi hapo watapata majibu TCHAO
Quote

Tupe maoni yako

3 comments:

  1. Hivi mnajisahau hali ngumu ya maisha kila kitu Loliondo Watanzania Jamnani huku mshasahau Dowans

    ReplyDelete
  2. Hello would you mind sharing which blog platform you're working with? I'm
    going to start my own blog soon but I'm having a difficult time making a decision between BlogEngine/Wordpress/B2evolution and Drupal. The reason I ask is because your design seems different then most blogs and I'm looking for something
    completely unique. P.S Sorry for being off-topic but
    I had to ask!
    Also visit my web page GFI Norte

    ReplyDelete
  3. Ahaa, its pleasant conversation about this paragraph here at this web site,
    I have read all that, so now me also commenting at this place.


    My page :: www.date-online-today.com
    Also see my web page :: weight loss

    ReplyDelete

Note: Only a member of this blog may post a comment.