Hapa ni katika kujuana zaidi usiku wa Valentine Nyumbani Hotels Mwanza, aliyeshika kipaza ni Meneja wa Clouds Radio Sebastian Maganga, MD wa Humajo Entertainment Edith Cesilia Subet, Gea Habib, Dina Marious, Zamaradi Mketema, na PG. Kweka.
Barnaba na Linah wa Mwanza wakikamua wrong number.
Da place....
Askwambie mtu Rangi zilipangwa zikapangika Mwanawane... kinginez' Cheki Samaki wanavyo pendezesha flowers wa Mwanza.
Mkali toka THT unaye mkubali Amini ambaye alikuwa ni mmoja wa mabrazaz waliosababisha utamu kunoga katika sekta ya burudani Valentine 2011 mwanza.
Mc G.Sengo na 'supa staa Amini'
Kila kitu kilikuwa supa bin supari - lazima ucheze..
Ingawa Lady walitinga Red nao men kutupia kitu cha white... haikujalisha wenye Colour nyingine ruksa Ha-Ha-Ha!
Maua ya kuvutia, yenye kunukia yalikuwa mengi ileee..... Ni NOWMA yaaaaani Haina Majjotro'.
'Best Couple' Mr.George Masha na my Wifewake mara baada ya kutunukiwa zawadi zao.
Shukurani za dhati kwa wakazi wa Mwanza kwani shughuli ni watu na watu ndo sisi. Salamu za upendo wa dhati toka kwaaaa.. Othman Michuzi pichani ambaye nae alikwea pipa kujumuika nasi siku ya wapendanao.
Kwa Wiki hii nzima Clouds fm 88.1 Mwanza itaendelea kurusha kipindi cha Leo tena LIVE na kusikika kote Nchini hadi siku ya ijumaa, hivyo ewe mkazi wa Mwanza endelea kutoa ushirikiano kwa Radio yako.
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.