ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, February 10, 2011

FUTUHI WAPIGWA STOPU?


*Kwa wanaotizama runinga hapa Bongo watakubaliana nami kwamba hawa jamaa wanaojulikana kama FUTUHI wa Rock City, Mwanza wanatisha! Jamaa walianza kwa tabu sana huku na kule wasieleweke! Tukiwaponda na 'kukomenti' kwa mabango ile mbaya! SIJUI NAMI NILIKUWA MMOJA WAPO? Ene weiz nitacheki mafaili yangu.

*Lakini mdogomdogo hatimaye WAKASOMEKA na swaga zao toka lugha za makabila ya asilia Afrika. Pamoja na kutuvunja mbavu ila pia wamekuwa wakituletea picha halisi ya matatizo tunayokumbana nayo kila siku hapa Bongoland. Sasa MAJAMAA ile Yanaanza kunoga na kushika ETI naskiaaaaaaaaaaAAA....
'WATU 7 MUHIMU WAMEPIGWA STOPU'


*KISA
ETI-Kushiriki show za nje bila kibali cha meneja wao!

*HATUA no.1
ETI-Hawaruhusiwi kuingia hata mjengoni kwa ofice!

*VIPI WIKI HII? (LEO ALHAMISI)
ETI-Timu mpyaaaaa kuonekana hewani (star tv)!

CHUNGUZA MJOMBA UTABAINI.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.