Jana ilikuwa siku ya kuzaliwa mtoto mzuri Eliakunda wa Rock City sherehe ya siku yake hiyo ilifanyika katika eneo la kwa Komba, Bwiru.
Kushoto kulia Chiazzzzz na frends, mwenye borzdei ni huyo binti katikati.
Tamuuuuuu ya keki hadi usingizi' Yahla!
The study of friendship is included in the fields of sociology, Askwambie mtu Kumbatio kama hili ni adimu hata kama kuna baridi kiasi gani linaletra majottroo! Pichani kushoto mwenye gauni ndo mwenye shughuli (brzdy) Eliakunda akiwa na shost wake..
Ingia kati tuyaone maringo yake bingiribingiri cho.... Hapa zimatingaz skwea' zimekwisha ingia maali yake..tehe!
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.