ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, December 5, 2010

STARS' KOMBE WATANZANIA TWALIHITAJI!!!

Mshike mshike katika lango la timu ya Burundi ambapo golikipa wake, Niyonkuru Vladimir aliweza kuizuia hatari hiyo. Tanzania iliibanjua timu ya Burundi 2-0.

Wachezaji wa Kilimanjaro Stars wakifuraki kwa pamoja mara baada ya kupatikana kwa bao la pili lililofungwa na Nurdin Bakari. Mabao hayo ndio yaliyoipelekea Kilimanjaro Stars kufuzu kuingia robo fainali ya mashindano Tusker Challenge Cup.
Kikosi cha timu ya Taifa la Tanzania (TAIFA STARS).
PICHA ZOTE KWA HISANI YA ISSA MICHUZI.


HABARI ZAIDI TEMBELEA www.issamichuzi.blogspot.com

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.