Jarida namba moja la Burudani Tanzania KITANGOMA tayari limekwisha ingia kanda ya ziwa. Humo ndani kuna mastori kibao ya mastaa wa sasa na wazamani , pati zote kubwa duniani includi' FIESTA, kona ya KALI ZA MTONI, ENZI HIZO, CHUCHIZI na maelelezo kibao juu ya vipindi vya CLOUDS TV. Lipate sasa ujionee mwenyeweEEE Mautamu kama mdau hapo juu niliyemfuma langoni mwa Imalaseko supermarket Mwanza aki 'Utamutika'.
KAMBI POPOTE, 20 KALI ZA TOWN, MTVBASE,A to Z ya filamu za Bongo ndani ya TAKE ONE. Ebwanaee..! jarida la KITANGOMA ni mpango mzima ile kabaaa..,
Long time kidogo Mwanza hii ndiyo club iliyo tukaribisha wengi, ikiitwa 'RUMAZ CLUB' wajanja wote walikuwa hawakosi kuzama humu, ambapo kwa sasa eneo limezungushiwa uzio jengo likipigwa nyundo kupisha ujenzi wa mjengo mpya. Mara baada ya kuja mapinduzi ya viota vya burudani kama Villa park na Stone club watu kama waliambizana vile... Mmmmh Rumaz wakawa wanapiga disco, asubuhi zawadi bakuli la supu.. Wapi watu hawazuki!! mwisho wa siku ngoma kwishni'
Hivi karibuni lile wimbi la vibaka wakabaji na waporaji lilirejea Eneo la Nera hapa Rock city, sababu kuu ikiwa ni giza. Duh afadhali Nimekuta mafundi wakikamilisha ukarabati wa taa hizo eneo la mwisho kabisa town.
SERIKALI YAAHIDI KUBORESHA MIUNDOMBINU KING LION
-
Prof.Mkumbo katikati akisikiliza maelekezo kutoka kwa Meneja wa King Lion
Arnold Lyimo.
Waziri Mkumbo akiwa kwenye picha ya pamoja na wawekezaji wa ...
SERIKALI YAAHIDI KUBORESHA MIUNDOMBINU KING LION
-
Prof.Mkumbo katikati akisikiliza maelekezo kutoka kwa Meneja wa King Lion
Arnold Lyimo.
Waziri Mkumbo akiwa kwenye picha ya pamoja na wawekezaji wa ...
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.