Mchezaji Timu ya Kenya akijitahidi kwa udi na uvumba kuwatoka mabeki wa Ethiopia lakini wapi, Kenya ikabamizwa goli 2-1 hadi kipyenga kinalia.
Wadau kulia Adam Mossi pamoja na mkurugenzi wa Zizzou Fashion, Othman Tippo wakifuatilia kwa makini kandanda safi iliyokuwa ikichezwa kati ya Kenya na Ethiopia. HABARI KAMILI TEMBELEA MICHUZI JR.
MHE. SIMBACHAWE AITEMBELEA FAMILIA YA HAYATI MSUYA
-
*Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora, Mhe. George Simbachawene akizungumza na Familia ya Makamu wa Kwanza
wa Ra...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.