ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, December 3, 2010

CECAFA TUSKER CHALLANGE CUP ETHIOPIA YAINYUKA KENYA 2-1.

Mchezaji Timu ya Kenya akijitahidi kwa udi na uvumba kuwatoka mabeki wa Ethiopia lakini wapi, Kenya ikabamizwa goli 2-1 hadi kipyenga kinalia.

Wadau kulia Adam Mossi pamoja na mkurugenzi wa Zizzou Fashion, Othman Tippo wakifuatilia kwa makini kandanda safi iliyokuwa ikichezwa kati ya Kenya na Ethiopia.
HABARI KAMILI TEMBELEA MICHUZI JR.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.