ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, November 29, 2010

HII TUIGENI AU..........!!?

SAFARI ZA BRAZA-MIRINDIMO HUKO YOKOHAMA, FUKUYAMA NA HIROSHIMA ZIMEACHA TAFAKUR' NA TAMANI NYINGI KWANGU PINDI TU NILIPOZITIA MACHONI MARA BAADA YA KUTUMIWA PICHA NA MDAU (MIRINDIMO) ALIYEKO ENEO LA TUKIO.... KWA UCHACHE wacha tuone pamoja kwa njia ya picha...
Nimependa mtandao huu wa barabara sambamba na reli....laiti tungeuiga katika miji yetu hapa nyumbani ingekuwa swafi sana... Mnaonaje tusubiri au?

Mbali na Mpangilio, usafi mwauonaje?

Hapa treni, hapa magari....

PICHA NA HABARI KWA HISANI YA MIRINDIMO.

Tupe maoni yako

2 comments:

  1. Tukiwa na uongozi bora,tutaweza kufikia hapo,Bado ni ndoto kwa Tanzania.

    ReplyDelete
  2. Yani Bongo au TZ au tushindwi kuwa kama hivi ila sema ufisai umezidi sana, haya yetu mecho tu.

    ReplyDelete

Note: Only a member of this blog may post a comment.