MTANGAZAJI WA REDIO MIRAYA ILIYOPO SUDAN KUSINI Bi. Lubna Lasu akiwa mzigoni...safii take 5 DADA AKEE!
WANANCHI WA KABILA LA DALINGA LILILOPO SUDAN KUSINI WAKIGOMBANIA CHAKULA KILICHOPELEKWA HAPO NA UMOJA WA MATAIFA KUPITIA MPANGO WAKE WA WFP. KIDOLE NA MACHO TUSIUMIZANE...
Mungu awasaidie hawa ndugu zetu! Viongozi wa africa nasi tumezidi haya hatuyaoni?? Hapo rais anatembea kwa shangingi na ndege na kila siku vita he! Kulogwa au?
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
Mungu awasaidie hawa ndugu zetu! Viongozi wa africa nasi tumezidi haya hatuyaoni?? Hapo rais anatembea kwa shangingi na ndege na kila siku vita he! Kulogwa au?
ReplyDelete