Wafanyakazi wa bank ya FBME kanda ya ziwa wakiwa pamoja na uongozi wa kituo cha kulea watoto cha Islamic Yatima Foundation kilichopo wilayani Ilemela mkoani Mwanza.
Baadhi ya Swadaka zikikabidhiwa kwa watoto yatima wa kituo cha Ilemel na Joseph Gwalugano na Maulid Tarimo.
Wakiongozwa na meneja wa tawi la Mwanza Bw. Joseph Gwalugano, walikabidhi swadaka yao kwa uongozi wa kituo hicho. Kutoka kulia ni Peter Nkenguye, Rehema Mbalike, Allawi Mdee (Afisa Maendeleo ya Biashara wa tawi) Mkuu wa shule ya msingi, na Joseph Gwalugano (meneja wa tawi ).
Afisa Maendeleo ya Biashara wa tawi hilo akimkabidhi mtoto Osama swadaka ikiwa ni zawadi yakuwa kati ya washindi wa kuhifadhi Quran tukufu kanda ya ziwa.
Annah Lupemba, mmoja wa maafisa wa tawi hilo akikabidhi swadaka kwa watoto hao wa Islamic Yatima Foundation
Wafanyakazi hao wakiwa kwenye picha ya pamoja baada ya kukabidhi swadaka zao kwa watoto yatima wa Ilemela – Mwanza.
Taarifa kwa Umma Kuhusu Ongezeko la Bei za Mafuta.
-
Dar es Salaam, Tanzania
Tunatambua ongezeko kubwa la hivi karibuni la bei za mafuta ambalo
limeongezeka kwa asilimia 33. Kama jukwaa linalolenga kusawaz...
Serikali Yaongeza Muda wa Tume ya Uchunguzi
-
*Na Mwandishi Wetu*
*DODOMA, Aprili 4, 2026 — Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
imetangaza kuongeza muda wa kukamilisha kazi kwa Tume ya Kuchun...
0 comments:
Post a Comment