YULE PRODUCER MAHIRI WA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA HAPA BONGO ALIYEGONGA PINI KAMA 'WE NDO MCHIZI WANGU' BY N2N NA NYINGINE KIBAO Q.THE DON, ANATARAJI KUFUNGA NDOA TAKATIFU KATIKA KANISA LA ANGLICAN NYAMANORO JIJINI MWANZA. KWA MUJIBU WA TAARIFA ZA KIKAO CHA MWISHO CHA HARUSI YAKE KILICHOFANYIKA JANA PK HOTEL JIJINI HAPA. NDOA HIYO ITAFUNGWA JUMAPILI HII TAREHE 4 JULY 2010. TAYARI NDOA HIYO IMETANGAZWA KANISANI IKIWA NI MARA YA TATU. KILA LA KHERI BROOO.
Alhamis ya Kitajiri na Meridianbet Imefika
-
NI siku nyingine kabisa ya Alhamisi ambapo leo hii tutaenda kushuhudia Nusu
Fainali za pili za Europa League na Conference huku Meridianbet wakiweka
o...
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.