Tupe maoni yako
Marekani yasifu mazungumzo na Iran, Trump asema yameanza vyema
-
Marekani na Iran zilikutana jana huko Oman kufuatia kuongezeka kwa mvutano
kati ya nchi hizo, huku Trump akirudia kuonya kuhusu uwezekano wa shambulio
la k...
43 minutes ago
asante sana kaka gsengo kwakutujali sisi wanablog wako asante japo nimeona kidogo sehemu ya arusha umefanya vizuri kuonyesha picha ya arusha lakini pale sema barabara mbovu hujaandika hapo ni wapi naomba safari nyingine ukituwekea picha utueleze ni sehemu gani maana wengine tumetoka nyumbani sikunyingi tumesha sahau maeneo kutoka mabadiliko ya mji na ujenzi asante kwa picha endelea kutuletea zaidi
ReplyDelete