Tupe maoni yako
RC Sendiga aanza ziara ya Kata kwa Kata Hanang', akagua miradi na kutatua
kero za Wananchi
-
*Na Ruth Kyelula, Manyara*
*Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Mhe. Queen Sendiga, ameanza ziara maalumu ya
ukaguzi wa miradi na kusikiliza kero za wananchi kati...
2 hours ago
asante sana kaka gsengo kwakutujali sisi wanablog wako asante japo nimeona kidogo sehemu ya arusha umefanya vizuri kuonyesha picha ya arusha lakini pale sema barabara mbovu hujaandika hapo ni wapi naomba safari nyingine ukituwekea picha utueleze ni sehemu gani maana wengine tumetoka nyumbani sikunyingi tumesha sahau maeneo kutoka mabadiliko ya mji na ujenzi asante kwa picha endelea kutuletea zaidi
ReplyDelete