Tupe maoni yako
JITIHADA ZA KUWALINDA WASICHANA DHIDI YA UKATILI NA MIMBA ZA UTOTONI
-
Na Rose Ngunangwa
Dunia imehitimisha shamrashamra za Siku ya Kimataifa ya Wanawake, na hata
hivyo, tunapoadhimisha mwezi huu maalumu, ukatili wa kijins...
9 hours ago
asante sana kaka gsengo kwakutujali sisi wanablog wako asante japo nimeona kidogo sehemu ya arusha umefanya vizuri kuonyesha picha ya arusha lakini pale sema barabara mbovu hujaandika hapo ni wapi naomba safari nyingine ukituwekea picha utueleze ni sehemu gani maana wengine tumetoka nyumbani sikunyingi tumesha sahau maeneo kutoka mabadiliko ya mji na ujenzi asante kwa picha endelea kutuletea zaidi
ReplyDelete