Tupe maoni yako
'Tutalinda uwezo wetu wa makombora na nyuklia' - Mojtaba Khamenei
-
Mojtaba Khamenei, amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu italinda “uwezo wake wa
nyuklia na makombora” kama rasilimali ya taifa.
7 hours ago
asante sana kaka gsengo kwakutujali sisi wanablog wako asante japo nimeona kidogo sehemu ya arusha umefanya vizuri kuonyesha picha ya arusha lakini pale sema barabara mbovu hujaandika hapo ni wapi naomba safari nyingine ukituwekea picha utueleze ni sehemu gani maana wengine tumetoka nyumbani sikunyingi tumesha sahau maeneo kutoka mabadiliko ya mji na ujenzi asante kwa picha endelea kutuletea zaidi
ReplyDelete