Tupe maoni yako
SHERIA YA HUDUMA ZA HABARI HAIJATOA HURUMA KWA WASIO NA SIFA ZA
KITAALUMA-KINGOBA
-
*Na Mwandishi Wetu, JAB.*
*Sheria ya Huduma za Habari ya mwaka 2016, haijatoa fursa ya kuwafikiria
Waandishi wa Habari au watu wanaofanya kazi za kihabar...
6 minutes ago
asante sana kaka gsengo kwakutujali sisi wanablog wako asante japo nimeona kidogo sehemu ya arusha umefanya vizuri kuonyesha picha ya arusha lakini pale sema barabara mbovu hujaandika hapo ni wapi naomba safari nyingine ukituwekea picha utueleze ni sehemu gani maana wengine tumetoka nyumbani sikunyingi tumesha sahau maeneo kutoka mabadiliko ya mji na ujenzi asante kwa picha endelea kutuletea zaidi
ReplyDelete