HUYU NDIYE MKURUGENZI WA KIHELYA AUTO PARTS WAKALA WA SERIKALI WAUZAJI WA PEMBEJEO ZA KISASA ZA KILIMO.
UNAYO KILA SABABU YA KUFIKA NDANI YA UWANJA WA CCM KIRUMBA, TAFADHALI UTAKAPO TEMBELEA KIHELYA KUJIONEA MAPINDUZI KTK KILIMO.
MAPOKEZI MAZURI UTAYAPATA TOKA KWA WAJUZI WENYE UTAALAMU WA PEMBEJEO.
BIDHAA ADIMU.
KTK MAONESHO HAYA MAGONJWA YA MIMEA YANAYAAINISHA KISHA DAWA GANI KUTUMIKA INABAINISHWA.
NI ZAIDI YA MAONESHO.
NI MASWALI YAKO TU! MAJIBU NA MAELEZO NA MAELEKEZO YANAKUSUBIRI.
KUNA MENGI MAZURI YANAYOENDELEA KATIKA UWANJA WA CCM KIRUMBA JIJINI MWANZA NAYO YANAIHUSU WIKI YA MAADHIMISHO YA UTUMISHI WA UMMA. PICHA NA HABARI ZAIDI ZAJA....
Taarifa kwa Umma Kuhusu Ongezeko la Bei za Mafuta.
-
Dar es Salaam, Tanzania
Tunatambua ongezeko kubwa la hivi karibuni la bei za mafuta ambalo
limeongezeka kwa asilimia 33. Kama jukwaa linalolenga kusawaz...
Serikali Yaongeza Muda wa Tume ya Uchunguzi
-
*Na Mwandishi Wetu*
*DODOMA, Aprili 4, 2026 — Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
imetangaza kuongeza muda wa kukamilisha kazi kwa Tume ya Kuchun...
0 comments:
Post a Comment