Nimepokea picha toka kwa mdau wa blog hii mamaa Ester wa paleee... za borzdei ya mwanae ENDELEA:- MTOTO MARIAM KHERI MCHUME AMETIMIZA MWAKA AMBAPO ALIFANYIWA SHEREHE SAFI. PICHANI AKIWA AMESHIKILIWA NA MAMA YAKE ESTER.
MARIAM AKIWA NA RAFIKIYE BRITNEY
RAFIKIZE MARIAM WAKIMWIMBIA KALE KA WIMBO.
HAYA NDO MAMBO, FURAHIA UTAMU WAKE!
MARIAM NA BABA YAKE.
HONGERA MTOTO MARIAM KWA KUTIMIZA MWAKA MMOJA MUNGU AWAPE NGUVU, HEKIMA NA BUSARA WAZAZI WAKO, WAKULEE KATIKA MAADILI MEMA SAMBAMBA NA KUIZINGATIA ELIMU.
Weeee weee!!!! Esther wakimbize huko!!! Mwaaa mwaaaa kwa mtoto wako na kwako ila kwa mumeo mpe hi nyingi sana. Mjukuu huyo mtunze ati. Mwambie namtakia birthday njema halafu zawadi yake aikute http://lulukivulini.blogspot.com/
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
Weeee weee!!!! Esther wakimbize huko!!! Mwaaa mwaaaa kwa mtoto wako na kwako ila kwa mumeo mpe hi nyingi sana. Mjukuu huyo mtunze ati. Mwambie namtakia birthday njema halafu zawadi yake aikute http://lulukivulini.blogspot.com/
ReplyDeleteAunt Lulu Hapa (Kubwa la maadui)