IMEZOELEKA KWA WENGI KTK MATEMBEZI,MASHOPING NA KADHALIKA KUTEMBEA NA MBWA & PAKA au BATA (niliishuhudia ktk Fiesta). SASA HII KALI NILIIFUMA JANA KWA JAMAA MMOJA ALIYEKUJA KWA MKWARA BENKI KUWEKA FEDHA. AKIHOFU KUFANYA USUMBUFU NDANI YA BENKI (ILE MEEE! MEEE!) AKATINGA ENEO HILO, KISHA AKAMFUNGA MBUZI WAKE PALE PALE KWENYE KIBARAZA CHA UZIO TUNAPOPENDA KUKAA WAKATI TUKISUBIRI FOLENI YA ATM TUKAPIGWA STOP.
Taarifa kwa Umma Kuhusu Ongezeko la Bei za Mafuta.
-
Dar es Salaam, Tanzania
Tunatambua ongezeko kubwa la hivi karibuni la bei za mafuta ambalo
limeongezeka kwa asilimia 33. Kama jukwaa linalolenga kusawaz...
Serikali Yaongeza Muda wa Tume ya Uchunguzi
-
*Na Mwandishi Wetu*
*DODOMA, Aprili 4, 2026 — Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
imetangaza kuongeza muda wa kukamilisha kazi kwa Tume ya Kuchun...
0 comments:
Post a Comment