Tupe maoni yako
Korea Kaskazini yathibitisha kutuma majeshi kuisaidia Urusi katika Vita ya
Ukraine
-
Ripoti kwamba wanajeshi wa Korea Kaskazini walikuwa wametumwa ziliibuka
mwezi Oktoba, kufuatia kuimarika kwa uhusiano wa pande mbili kati ya Kim na
Putin
15 minutes ago
Hongera sana Kizito Bahati aka jamii "sosho"..
ReplyDeletenimefurahi kuona taswira yako kwani ni takribani miaka 7 zaidi hatujaonana.
Nakutakia wewe na mkeo maisha ya furaha ya ndoa.
Remain bless
Padre wa Nyamagana enzi za mwalimu..hahaa