Tupe maoni yako
Rais Yoweri Museveni atangazwa mshindi wa uchaguzi wa 2026, mpinzani Bobi
Wine akataa matokeo
-
*KAMPALA, UGANDA — Tume ya uchaguzi nchini Uganda imeitangaza rasmi ushindi
wa Rais Yoweri Kaguta Museveni katika uchaguzi mkuu uliofanyika Alhamisi
wiki...
1 hour ago
Hongera sana Kizito Bahati aka jamii "sosho"..
ReplyDeletenimefurahi kuona taswira yako kwani ni takribani miaka 7 zaidi hatujaonana.
Nakutakia wewe na mkeo maisha ya furaha ya ndoa.
Remain bless
Padre wa Nyamagana enzi za mwalimu..hahaa