DEFENDER WA TIMU YA TAIFA YA GHANA SAMUEL INKOOM AKIWA AMEBEBA BENDERA YA AFRIKA YA KUSINI KUUTAMBULISHA USHINDI WAO KUWA NI USHINDI WA AFRIKA. Ghana itakutana na Uruguay katika mchezo wa robo fainali July 2 katika mji wa Johannesburg.
USIKU WA KUAMKIA LEO MITAANI ILIKUWA SHUGHULI. MASHABIKI WA TIMU YA TAIFA YA GHANA KTK MJI MKUU WA NCHI HIYO WAKISHEREHEKEA BAADA YA TIMU HIYO YA AFRIKA KUIBANJUA KTK MUDA WA NYONGEZA, USA 2-1 JUNE 26, 2010. BAO LA DAKIKA YA 3 EXTRA TIME, TOKA KWAKE ASAMOAH GYAN NDILO LILILOTOA USHINDI KWA TIMU HIYO.
GEORGE MASAJU ATEULIWA JAJI MKUU
-
*Na Happiness Katabazi.*
*RAIS Samia Suluhu Hassan Leo amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani George
Mcheche Masaju Kuwa Jaji Mkuu wa Tanzania.*
*Kwa Mujibu ...
TAZAMA USIKU WA BI FELISIA KYAMANI ULIVYO FANA
-
Wanafamilia na Waalikwa wakicheza kwaifuraha na shangwe kwenye siku hii
muhimu ya SendOff ya Bi Felias Kyamani .
Watu walivaa na kupendeza Ukumbi ulipambw...
Very good blog.
ReplyDelete