MASHADANKA YAKIWA KATIKA GLOVS ZA KIPA WA TOTO ALIYOKUWA AMEHIFADHI GOLINI MWAKE HATIMAYE YALIFUKUNYULIWA NA MNAZI MOJA WA SIMBA (ANAYEYAANIKA KWA WANDISHI WA HABARI), DAKIKA CHACHE BAADAYE SIMBA WALIOKUWA HAWAONANI WAKAANZA KUONANA, MUSSA HASSAN MGOSI AKAFUNGA GOLI LA KWANZA NABADAE RAMADHANI CHOMBO 'REDONDO AKAONGEZA JINGINE WAKATI SIMBA ILIPOPATA USHINDI WAKE WA 14 MFULULIZO BAADA YA KUIFUNGA TOTO 2-0. SHABIKI HUYO ALIYEWAUMBUA TOTO ILE KIPUTE KINAMALIZIKA TU NA REFA KUPULIZA KIPYENGA KUASHIRIA NGOMA METII ALIANGUKA UWANJANI HAPO NA KUANZA KUPEPEWA. SAMBAMBA NA HILI VYUMBA VYA KUBADILISHIA NGUO WACHEZAJI VILIKUTWA VIKIWA VIMETAPAKAA DAMU ISIYOJULIKANA NI YA MNYAMA GANI.
sasa ni kwanini basi kamati za miba za yanga, simba,toto,majimaji,mtibwa na timu zingine zote za nchini zisiungane na kuunda kikosi cha miba taifa ili stazi ichukue kombe la dunia, badala ya TFF kushikilia kamati wenyewe wakati timu ni ya taifa
WATU WOTE WAMEOKOLEWA - MGODI WA DHAHABU MWAKITOLYO
-
Na. Julius Mtatiro
Tukio la Ajali ya Mgodi Mwakitolyo unaomilikiwa na Kikundi cha Wachimbaji
cha "HAPA KAZI TU!", limetokea Jumamosi, 17 Mei 2025, na mimi ...
Je, Chadema inajijenga au inajimega?
-
Kuna vita vya aina mbili ambavyo kwa sasa Chadema inapigana kwa wakati
mmoja. Wao kwa wao na wao dhidi ya utawala.
sasa ni kwanini basi kamati za miba za yanga, simba,toto,majimaji,mtibwa na timu zingine zote za nchini zisiungane na kuunda kikosi cha miba taifa ili stazi ichukue kombe la dunia, badala ya TFF kushikilia kamati wenyewe wakati timu ni ya taifa
ReplyDelete