Tupe maoni yako
MVUA KUBWA ZAHARIBU MIUNDOMBINU, USAFIRI WA SGR NA BARABARA WAATHIRIKA
-
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa ya mwenendo wa Mvua
Kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali hapa nchini.
Imeeleza ku...
2 hours ago
Kwa kweli inasikitisha jinsi mazingira yanavyoharibika, Maana sasa mimomonyoko kila sehemu. Sijui ni mwisho wa dunia hii?
ReplyDelete