, PICHA YA KWANZA JUU KAUNTA YA BAR ENEO LA MAPUMZIKO, BAR AMBAYO IKO MBIONI KUBOMOLEWA KISHA KUJENGWA UPYA KITALII ZAIDI PICHA INAYOFUATA NI KORIDO KATIKA MWAMBA MAHALA AMBAPO UNAPOWEZA KUSIMAMA NAKUJIONEA MAANDALI YA USO WA DUNIA, CHINI NI MOJA YA MAENEO YA MBELE. HABARI NI KWAMBA:- KISIWA HIKI KIKO KATIKA UKARABATI MZITO, AWALI KILIKUWA KIKISIMAMIWA NA GAME HIVI SASA KINAMILIKIWA NA TANAPA.
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.