HATUA KADHAA (kama 50 za miguu) KUTOKA ENEO LA MAKABURI YA MV BUKOBA KUNA SEHEMU YA KIHISTORIA ENEO AMBALO BABA WA TAIFA JK. NYERERE ALIPO PUMZIKA BAADA YA KUTEMBEA KWA MIGUU KUTOKA BUTIAMA HADI MWANZA KUUNGA MKONO AZIMIO LA ARUSHA MWAKA 1967. MNARA HUU ULIKUJA KUJENGWA HIVI MAJUZI KUHAKIKISHA ENEO HILI LINAKUMBUKWA. NINA MASWALI MAWILI, JE! ENEO HILI LITATUNZWA? JE! WADAU WANATUMIA NJIA GANI KULITANGAZA KAMA SEHEMU YA HISTORIA? NI HAYO TU!!!!!
Alhamis ya Kitajiri na Meridianbet Imefika
-
NI siku nyingine kabisa ya Alhamisi ambapo leo hii tutaenda kushuhudia Nusu
Fainali za pili za Europa League na Conference huku Meridianbet wakiweka
o...
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.