HATUA KADHAA (kama 50 za miguu) KUTOKA ENEO LA MAKABURI YA MV BUKOBA KUNA SEHEMU YA KIHISTORIA ENEO AMBALO BABA WA TAIFA JK. NYERERE ALIPO PUMZIKA BAADA YA KUTEMBEA KWA MIGUU KUTOKA BUTIAMA HADI MWANZA KUUNGA MKONO AZIMIO LA ARUSHA MWAKA 1967. MNARA HUU ULIKUJA KUJENGWA HIVI MAJUZI KUHAKIKISHA ENEO HILI LINAKUMBUKWA. NINA MASWALI MAWILI, JE! ENEO HILI LITATUNZWA? JE! WADAU WANATUMIA NJIA GANI KULITANGAZA KAMA SEHEMU YA HISTORIA? NI HAYO TU!!!!!
RAIS SAMIA AFTURISHA WATOTO KIKOMBO DODOMA
-
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.
Mwanaidi Ali Khamis akigawa iftar kwa mmoja ya mtoto anayelelewa katka
Makao ...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.