HATUA KADHAA (kama 50 za miguu) KUTOKA ENEO LA MAKABURI YA MV BUKOBA KUNA SEHEMU YA KIHISTORIA ENEO AMBALO BABA WA TAIFA JK. NYERERE ALIPO PUMZIKA BAADA YA KUTEMBEA KWA MIGUU KUTOKA BUTIAMA HADI MWANZA KUUNGA MKONO AZIMIO LA ARUSHA MWAKA 1967. MNARA HUU ULIKUJA KUJENGWA HIVI MAJUZI KUHAKIKISHA ENEO HILI LINAKUMBUKWA. NINA MASWALI MAWILI, JE! ENEO HILI LITATUNZWA? JE! WADAU WANATUMIA NJIA GANI KULITANGAZA KAMA SEHEMU YA HISTORIA? NI HAYO TU!!!!!
KOICA Yajenga Maabara ya Kisasa ya 3D ATC
-
Na Woinde Shizza, Arusha
Chuo cha Ufundi Arusha (ATC), kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo ya
Kimataifa la Korea (KOICA), kimezindua rasmi maabara...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.