AJALI HII IMETOKEA JANA MCHANA NYERERE ROAD JIJINI MWANZA KWENYE TAA ZA KUONGOZA MAGARI, SIWAJUA TENA MISHEMISHE ZA MADREVA WA DALADALA JAMAA ANA WAHI NUKTA YA MWISHO YA TAA AKALIGONGA KWA NYUMA GARI LILILOKUWA MBELE YAKE. KIBAYA ZAIDI DEREVA ALIKUWA KONDA HANA LESENI, KWAHIYO NDANI YA GARI NI KONDA NA KONDA WAKE. SHERIA IKACHUKUA MKONDO, CHAAJABU SIKU YA LEO ASUBUHI NIMEMWONA KONDA HUYO HUYO AKIDRIVE DALADALA NAMBA NAZISITIRI. "NDOMANA AJALI HAZIISHI"
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.