PICHANI JUU NI BARABARA IINGIAYO KITUO KIKUU CHA MABASI MKOANI SHINYANGA. HEBU Tafakari mjomba:- WILAYA ZAKE ZIKIWA TEGEMEO LA PATO KWA TAIFA KUPITIA ZAO LA PAMBA, MKOA UKIWA WAZALISHJI WAKUU WA MADINI YA ALMASI NA DHAHABU PAMOJA NA RASLIMALI ZOTE HIZO HAPA KATIKA KITUO CHAKE KIKUU NI KULA VUMBI MWANZO MWISHO.
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.