PICHANI JUU NI BARABARA IINGIAYO KITUO KIKUU CHA MABASI MKOANI SHINYANGA. HEBU Tafakari mjomba:- WILAYA ZAKE ZIKIWA TEGEMEO LA PATO KWA TAIFA KUPITIA ZAO LA PAMBA, MKOA UKIWA WAZALISHJI WAKUU WA MADINI YA ALMASI NA DHAHABU PAMOJA NA RASLIMALI ZOTE HIZO HAPA KATIKA KITUO CHAKE KIKUU NI KULA VUMBI MWANZO MWISHO.
MUHAS WAPIGWA MSASA SHULE YA MWALIMU JULIUS NYERERE
-
Makamu Mkuu wa Chuo Cha Afya Sayansi Shieikishi Prof.Apolinari Kamuhabwa.
Mgeni rasmi kwenye ufunguzi wa mafunzo hayo Mkuu wa Wilaya ya Kibaha
Nickson Simo...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.