KAA MKAO WA KUONA NA KUSIKIA HEWANI KAZI MPYA YA KOLABO LA MTU BEE TARSIS MASELA WA AKUDO IMPACKT MAVIJANA YA MASAUTI NAYE MSANII KUTOKA JIJINI MWANZA NURJAN KWA PAMOJA kupitia 88.1 WAMETAMKA RASMI KUITAMBULISHA KAZI YAO KATIKA SHOW YA JIJINI MWANZA IJUMAA HII na JUMAPILI NA KWA WALE WAPENZI WA MWONEKANO PLIZ KWA WAKATI WAKO CHUNGULIA LUNINGA YAKO.... KWANI VYOTE VITATOKA PAMOKO.
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.