KAA MKAO WA KUONA NA KUSIKIA HEWANI KAZI MPYA YA KOLABO LA MTU BEE TARSIS MASELA WA AKUDO IMPACKT MAVIJANA YA MASAUTI NAYE MSANII KUTOKA JIJINI MWANZA NURJAN KWA PAMOJA kupitia 88.1 WAMETAMKA RASMI KUITAMBULISHA KAZI YAO KATIKA SHOW YA JIJINI MWANZA IJUMAA HII na JUMAPILI NA KWA WALE WAPENZI WA MWONEKANO PLIZ KWA WAKATI WAKO CHUNGULIA LUNINGA YAKO.... KWANI VYOTE VITATOKA PAMOKO.
Mambo sita kuuelewa msimamo wa Papa mpya
-
Papa Leo alichaguliwa kuwa kiongozi mpya wa Kanisa Katoliki Alhamisi
kufuatia kifo cha mtangulizi wake, Papa Francis, katika kongamano la siku
mbili katika...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.