ENEO HILI LA MAPUMZIKO AMBALO LIMESANIFIWA KITALII UTALIPATA NDANI YA KISIWA CHA SAA NANE UWANDA WA CHINI KABISA KUELEKEA ZIWANI. KUNA MITI NA UPEPO MWANANA USOKERA KAMA UMEPIMWA KWA RULA TEHE!!
bora umerudi nilikuwa namiss habari na picha za mwanza si unajua tena huku ughaibuni tuna hamu ya kutaka kujua yanayoendelea nyumbani. Naona saanane inakarabatiwa safi sana ni hifadhi ya pekee tanzania
MDAU WANGU BMK NIMEKUSOMA SANA SANA, ONDOA SHAKA NI MASUALA YA MTANDAO NDO YALIKUWA YAKIZINGUA LAKINI SASA YAKO POA HIVYO KUANZIA TAREHE 1 SEPTEMBER MAJIRA YA MCHANA NGOMA ITAKUWA MDUNDO NYUZI BIN NYUZI. BIG UP MZAZI KWA KUWA MFUATILIAJI INGAWA SIJAJUA UKO MAJUU IPI YA UGHAIBUNI. TEH
Maliza Wikendi Kibabe na Meridianbet
-
KAMA kawaida ni siku nyingine kabisa ya Jumapili ya wewe mteja wa
Meridianbet kuondoka na kitita cha mpunga. Mechi nyingi zitakuwa uwanjani
leo kusaka...
bora umerudi nilikuwa namiss habari na picha za mwanza si unajua tena huku ughaibuni tuna hamu ya kutaka kujua yanayoendelea nyumbani. Naona saanane inakarabatiwa safi sana ni hifadhi ya pekee tanzania
ReplyDeleteBMK
MDAU WANGU BMK NIMEKUSOMA SANA SANA, ONDOA SHAKA NI MASUALA YA MTANDAO NDO YALIKUWA YAKIZINGUA LAKINI SASA YAKO POA HIVYO KUANZIA TAREHE 1 SEPTEMBER MAJIRA YA MCHANA NGOMA ITAKUWA MDUNDO NYUZI BIN NYUZI. BIG UP MZAZI KWA KUWA MFUATILIAJI INGAWA SIJAJUA UKO MAJUU IPI YA UGHAIBUNI. TEH
ReplyDeleteniko UK mkuu
ReplyDeleteBMK