Tupe maoni yako
PROFESA MALEBO:UHAMAJI WA HIARI KUTOKA NGORONGORO NI KWA LENGO LA KULINDA
HAKI ZA BINADAMU NA UHIFADHI
-
Na Mwandishi Wetu
SERIKALI ya Tanzania imesema kuwa inatekeleza uhamaji wa hiari wa wananchi
kutoka Ngorongoro ili kulinda haki za binadamu na uhifadhi....
1 minute ago
bora umerudi nilikuwa namiss habari na picha za mwanza si unajua tena huku ughaibuni tuna hamu ya kutaka kujua yanayoendelea nyumbani. Naona saanane inakarabatiwa safi sana ni hifadhi ya pekee tanzania
ReplyDeleteBMK
MDAU WANGU BMK NIMEKUSOMA SANA SANA, ONDOA SHAKA NI MASUALA YA MTANDAO NDO YALIKUWA YAKIZINGUA LAKINI SASA YAKO POA HIVYO KUANZIA TAREHE 1 SEPTEMBER MAJIRA YA MCHANA NGOMA ITAKUWA MDUNDO NYUZI BIN NYUZI. BIG UP MZAZI KWA KUWA MFUATILIAJI INGAWA SIJAJUA UKO MAJUU IPI YA UGHAIBUNI. TEH
ReplyDeleteniko UK mkuu
ReplyDeleteBMK