WADAU OFISI YA MKURUGENZI JIJI LA MWANZA HEBU TUAMBIENI! ULE UTARATIBU WA NJIA NDEFU UMEISHIA WAPI AU TUITE ILIKUWA NI OPARESHENI PITISHA MUDA AKA SINGLE? UTARATIBU ULIKUWA MZURI KWANI EXPRESS KATIKATI YA JIJI ZILIKUWA ZINA PITA TU HAZIWEKI KITUO ZAIDI YA KUPAKIA ABIRIA NA KU GO, KITUO KILIKUWA MWANZO WA SAFARI NA MWISHO WA SAFARI EITHER NYEGEZI AU IGOMA KUTOKANA NA RUTI. PICHANI NI MTAA WA SOKONI WENYE BARABARA YA ONE WAY AMBAO UMEGEUKA KUWA KITUO CHA EXPRESS. MITAANI ATUHEMI NI MBANANO MWANZO MWISHO.
”Rasmi Soko Kuu la Manispaa ya Bukoba lavunjwa”
-
Soko Kuu la Manispaa Bukoba limevunjwa ili kupisha ujenzi wa soko jipya la
kimataifa unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Kwa Wakati tofauti wameonekana Wafa...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.