KUMAANISHA KUWA NYOTA YAKE ILIKUWA YA HATARI TENA FULL KIWANGO; EH BANA THE WACKO JACKO ALIKUWA AKISHINE TANGU AKIWA NA KAKA ZAKE KATIKA KUNDI LA NDUGU WATANO THE JACKSON 5. TAFAKARI DOGO ALIKUWA NA MIAKA 11 LAKINI ENZI HIZO UKITAJA THE JACKSON 5 BILA YEYE(MICHAEL JACKSON) SIYO KUNDI TENA.....MICHAEL ALIKUWA KICHWA KINGINE!!! KUNAWANAOTHUBUTU KUSEMA 'MICHAEL JACKSON SIYO MFALME WA POP BALI ALIKUWA MUNGU WA POP'.
MBUNGE NDULANE ASHAURI MAMBO SITA WIZARA YA AFYA
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Bungeni Dodoma
MBUNGE wa Kilwa Kaskazini,Francis Ndulane (CCM) ameshauri mambo sita kwa
Wizara ya Afya ikiwemo kupeleka Hudum...
ALAF yazindua rasmi mtambo wa mabati ya rangi
-
*Yathibitisha umakini wake katika ubora na viwango Tanzania
KAMPUNI ya ALAF Limited, imezindua rasmi mtambo wake wa mabati ya rangi
uliogharimu mabi...
TASAC yatoa elimu ya Utunzaji wa Mazingira, Dodoma
-
*Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania TASAC, leo tarehe 02 Juni, 2025
limetoa elimu ya utunzaji wa mazingira majini kwa wadau waliotembelea banda
lao jiji...
Diwani awawashia moto wanaomtukana Rais Samia
-
Na Woinde Shizza ,moshi
Diwani wa kata ya boma mbuzi Halmashauri ya Wilaya ya Moshi, Juma Rahibu,
amewajia juu baadhi ya Watanzania wanaomkashifu na kum...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.