Michuano ya Muungano Cup 2026 inafikia tamati leo kwa mchezo wa Fainali kupigwa katika dimba la New Amaan.
Ni Yanga SC dhidi ya Simba SC.
Mechi hii itachezwa kuanzia saa 2:15 usiku na kuruka mbashara AzamSports1HD.
Je, Yanga SC ambae ni bingwa mtetezi atalitetea Kombe ama kuvuliwa Ubingwa na Mnyama?
#MuunganoCup
Tupe maoni yako

0 comments:
Post a Comment