Uchaguzi Uganda 2026: Museveni achukua uongozi wa mapema wa kura zilizohesabiwa kufikia sasa
Jaji Simon Byabakama, mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Uganda amesema matokeo hayo yanazingatia vituo 133 vya kupiga kura na yanawakilisha asilimia 0.26 ya jumla ya kura zilizopigwa.
Wakati huo huo Rais Museveni amewaonya raia wanaopanga kuandamana siku ya Jumanne akisema kwamba 'wanacheza na moto'.
Mgongano unaokuja baada ya wimbi la maandamano ya kupingana na serikali yaliyoigonga nchi ya jirani ya Kenya, ambapo watu wasiopunguwa 50 walipoteza maisha katika mapambano na vyombo vya usalama, kulingana na takwimu zilizo chapishwa na Tume ya Kitaifa ya Haki za Binadamu.
Rais Yoweri Museveni, 79, aliyekuwa akitawala taifa la Uganda kwa karibu miongo minne kwa mkono wa chuma, alisema katika hotuba iliyorushwa hewani Jumamosi kuwa maandamano ya kupambana na ufisadi hayataruhusiwa.
“Ana haki gani… unao nayo wa kuleta tabia ya maangamizi? … Tunaanza kuzalisha chakula cha bei rahisi, watu wengine katika sehemu nyingine za dunia wanaachu (kuwa na njaa)… wewe unataka kutulazimisha kuvuruga. Unacheza na moto kwa sababu hatuwezi kukuruhusu kutuvuruga,” Museveni aliweka maneno yake katika hotuba iliyotumia saa tatu.
Wengi wa vijana wa Uganda wanasema kupitia mitandao ya kijamii kuwa wanapanga kuendelea na maandamano hadi ofisi za bunge la taifa, licha ya jeshi la polisi kukataa kutoa vibali vya maandamano.
Jeshi la Polisi wa Uganda liliutanabaisha umma kwa maandamano yaliyopangwa kuwa “yanayoweza kusababisha vurugu” katika taarifa ya Jumatatu, likionya kwamba “hawatahimili tabia ya utulivu mbovu.”
Baadhi ya waandamanaji vijana waliodhamiria kujiunga na maandamano hayo ya Jumanne wameanza kutupia picha zao kwenye mitandao ya kijamii, wakihanikiza raia wenzao nao wafanye vivyo hivyo ili wapate kuwataja wakirudi salama nyumbani.
Na hata ikitokea wakapotea basi ijulikane ni kipi kiliwapoteza.
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment