ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, August 26, 2025

"SASA NI WAKATI WAKUACHANA NA MATUMIZI YA MKAA NA KUNI" PIKA PIKA KWA NISHATI SAFI.

 NA ALBERT G.SENGO/MWANZA

“Kiongozi wa Ubia na Uhusiano wa Mradi wa Masuala ya Nishati Safi kutoka Modern Cooking Energy Services (MECS), Bw. Charles Barnaba, amefafanua umuhimu wa matumizi ya nishati safi ya umeme kwa ajili ya kupikia, wakati wa mahojiano maalum mapema hii leo ndani ya kipindi cha Mchaka Mchaka, kupitia Jembe FM. . Ametoa elimu hiyo akisisitiza usalama, ufanisi na faida za kiafya zitokanazo na kuachana na nishati chafu majumbani kama vile kuni na mkaa. .
Kiongozi wa Ubia na Uhusiano wa Mradi wa Masuala ya Nishati Safi kutoka Modern Cooking Energy Services (MECS), Bw. Charles Barnaba (kulia) akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Jembe Fm ya jijini Mwanza, Bi. Florencia Peter (katikati) na Dj Eazy (kushoto)

Kiongozi wa Ubia na Uhusiano wa Mradi wa Masuala ya Nishati Safi kutoka Modern Cooking Energy Services (MECS), Bw. Charles Barnaba akizungumza na Jembe Fm.

Bango linajieleza Kiongozi wa Ubia na Uhusiano wa Mradi wa Masuala ya Nishati Safi kutoka Modern Cooking Energy Services (MECS), Bw. Charles Barnaba akimkabidhi zawadi ya Tshirt Dj Eazy wa Kipindi cha Mchakamchaka

@ukintanzania @wizara_ya_nishati_tanzania

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment