NA ALBERT G.SENGO/MWANZA
“Kiongozi wa Ubia na Uhusiano wa Mradi wa Masuala ya Nishati Safi kutoka Modern Cooking Energy Services (MECS), Bw. Charles Barnaba, amefafanua umuhimu wa matumizi ya nishati safi ya umeme kwa ajili ya kupikia, wakati wa mahojiano maalum mapema hii leo ndani ya kipindi cha Mchaka Mchaka, kupitia Jembe FM. . Ametoa elimu hiyo akisisitiza usalama, ufanisi na faida za kiafya zitokanazo na kuachana na nishati chafu majumbani kama vile kuni na mkaa. .![]() |
| Kiongozi wa Ubia na Uhusiano wa Mradi wa Masuala ya Nishati Safi kutoka Modern Cooking Energy Services (MECS), Bw. Charles Barnaba akizungumza na Jembe Fm. |
@ukintanzania @wizara_ya_nishati_tanzania
Tupe maoni yako
.jpg)
.jpg)
.jpg)
0 comments:
Post a Comment