ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, July 25, 2025

Rais Dkt. Samia] Ashiriki Maadhimisho ya Mashujaa Kitaifa katika viwanja vya Mashujaa, Mtumba Jijini Dodoma

 

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama wakati wimbo wa Taifa ana ule wa Afrika Mashariki ukiimbwa katika Maadhimisho ya siku ya kumbukumbu ya Mashujaa katika uwanja wa Mashujaa, Mtumba Jijini Dodoma tarehe 25 Julai, 2025.
















 Matukio mbalimbali kwenye Maadhimisho ya siku ya kumbukumbu ya Mashujaa yaliyofanyika katika uwanja wa Mashujaa Mtumba Jijini Dodoma tarehe 25 Julai, 2025.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment