ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, July 3, 2025

KADA WA CCM AMIRI MKUFYA AJITOSA UBUNGE JIMBO LA MLALO

 

 


Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa Amiri Mkufya maarufu kama AMESCO, ni miongoni mwa watia nia Jimbo la Mlalo, ambaye naye amechukua fomu kwa ajili ya kumkabi li Mbunge wa sasa Rashid Shangazi.


Pamoja na kuwa kada, Mkufya pia ni mshindi wa tuzo za Young CEO Round table Africa, Mchumi na msomi kutoka Chuo kikuu cha Dar es Salaam (UDSM).


Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment